Without a doubt, they will be the worst losers in the Hereafter.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Ukweli ni kwamba wao kesho Akhera ni wenye kapata hasara zaidi kibiashara, kwa kuwa wao waliacha daraja za Pepo na kuchukuwa mashimo ya Moto, kwa hivyo wakawa kwenye Moto wa Jahanamu. Huko ndiko kupata hasara waziwazi.