Moses added, “If you along with everyone on earth were to be ungrateful, then ˹know that˺ Allah is indeed Self-Sufficient, Praiseworthy.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na akawaambia, «Mkimkanusha Mwenyezi Mungu , nyinyi na watu wa ardhini, hamtamdhuru Mwenyezi Mungu kitu chochote. Kwani Mwenyezi mungu ni Mkwasi kutowahitajia viumbe Vyake, ni mstahiki wa kushukuriwa na kusifiwa, ni mshukuriwa kwa hali zote.»