who ˹now˺ accept parts of the Quran, rejecting others.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
«Na wao ni wale walioifanya Qur’ani kuwa ni vigawannyo na mafungu.» Kati yao kuna wanaosema, ‘ni uchawi’ na kati yao kuna wanaosema, ‘ni ukuhani’ na kati yao kuna wanaosema yasiyokuwa hayo ili wawazuie watu kufuata uongofu.