Masuk
Masuk
Masuk
Pilih Bahasa

tafsir: Al-Anbiya' 21:50

21:50
وهاذا ذكر مبارك انزلناه افانتم له منكرون ٥٠
وَهَـٰذَا ذِكْرٌۭ مُّبَارَكٌ أَنزَلْنَـٰهُ ۚ أَفَأَنتُمْ لَهُۥ مُنكِرُونَ ٥٠
وَهَٰذَا
ذِكۡرٞ
مُّبَارَكٌ
أَنزَلۡنَٰهُۚ
أَفَأَنتُمۡ
لَهُۥ
مُنكِرُونَ
٥٠
Dan ini (Al-Qur`an) adalah suatu peringatan yang mempunyai berkah yang telah Kami turunkan. Maka apakah kamu mengingkarinya?
Tafsir
Lapisan
Pelajaran
Refleksi
Jawaban
Qiraat
Hadits
Na hii Qur’ani ambayo Mwenyezi Mungu Ameiteremsha kwa Mtume Wake Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukliye, ni ukumbusho kwa anayejikumbusha nayo na akatekeleza amri Zake na akajiepusha na makatazo Yake, ina kheri nyingi na manufaa makubwa. Je, mnaikanusha na hali ina upeo wa uwazi na ufunuzi.