Masuk
Masuk
Masuk
Pilih Bahasa

tafsir: Al-Qasas 28:41

28:41
وجعلناهم ايمة يدعون الى النار ويوم القيامة لا ينصرون ٤١
وَجَعَلْنَـٰهُمْ أَئِمَّةًۭ يَدْعُونَ إِلَى ٱلنَّارِ ۖ وَيَوْمَ ٱلْقِيَـٰمَةِ لَا يُنصَرُونَ ٤١
وَجَعَلۡنَٰهُمۡ
أَئِمَّةٗ
يَدۡعُونَ
إِلَى
ٱلنَّارِۖ
وَيَوۡمَ
ٱلۡقِيَٰمَةِ
لَا
يُنصَرُونَ
٤١
Dan Kami jadikan mereka para pemimpin yang mengajak (manusia) ke neraka dan pada hari Kiamat mereka tidak akan ditolong.
Tafsir
Lapisan
Pelajaran
Refleksi
Jawaban
Qiraat
Hadits
Na tumemfanya Fir’awn na watu wake ni wenye kuongoza kwenye njia ya motoni, wakifuatwa na watu wa ukafiri na uasi. Na Siku ya Kiyama hawataokolewa. Hiyo ni kwa sababu ya ukafiri wao na kuwakanusha kwao Mitume wa Mola wao na kuendelea kwao kufanya hivyo.