Their fate will be like that of the people of Pharaoh and those before them—they all rejected Our signs, so Allah seized them for their sins. And Allah is severe in punishment.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hali ya makafiri katika kukanusha kwao na adhabu itakayowashukia ni kama hali ya jamaa za Fir’aun na wale makafiri waliokuwa kabla yao. Wao walizikanusha aya za Mwenyezi Mungu zilizo wazi, Mwenyezi Mungu akawapatiliza kwa kuwatesa kwa sababu ya kukanusha kwao na kushindana. Na Mwenyezi Mungu ni Mkali wa kutesa kwa aliyemkufuru Yeye na kuwakanusha Mitume Wake.