on the Day the earth and mountains will shake ˹violently˺, and mountains will be ˹reduced to˺ dunes of shifting sand.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Siku itakapotikisika na kusukikasukika ardhi na majabali mpaka majabali yawe mlima wa mchanga wenye kutiririka na kupeperuka, baada ya kuwa kwenye hali ya ugumu na ukavu.