Masuk
Masuk
Masuk
Pilih Bahasa

tafsir: Al-Anbiya' 21:100

21:100
لهم فيها زفير وهم فيها لا يسمعون ١٠٠
لَهُمْ فِيهَا زَفِيرٌۭ وَهُمْ فِيهَا لَا يَسْمَعُونَ ١٠٠
لَهُمۡ
فِيهَا
زَفِيرٞ
وَهُمۡ
فِيهَا
لَا
يَسۡمَعُونَ
١٠٠
Mereka merintih dan menjerit di dalamnya (neraka), dan mereka di dalamnya tidak dapat mendengar.
Tafsir
Lapisan
Pelajaran
Refleksi
Jawaban
Qiraat
Hadits
Hawa wenye kuadhibiwa Motoni wataona uchungu unaooneshwa na mlio wa sauti zao ambapo pumzi zao zinatoka kwa nguvu sana kutoka kwenye vifua vyao. Na wao wakiwa Motoni hawasikii kwa ukali wa adhabu wanayopewa.