Apakah engkau mengira bahwa orang yang mendiami gua, dan (yang mempunyai) raqīm1 itu, termasuk tanda-tanda (kebesaran) Kami yang menakjubkan?
Tafsir
Lapisan
Pelajaran
Refleksi
Jawaban
Qiraat
Hadits
Usidhani kwamba kisa cha watu wa pangoni (asḥāb al-kahf) na ubao ulioandikwa majina yao ni jambo geni la ajabu miongoni mwa alama zetu. Kuumba mbingu na ardhi na vilivyomo ndani yake ni jambo la ajabu zaidi kuliko hilo.