Masuk
Masuk
Masuk
Pilih Bahasa

tafsir: At-Tawbah 9:78

9:78
الم يعلموا ان الله يعلم سرهم ونجواهم وان الله علام الغيوب ٧٨
أَلَمْ يَعْلَمُوٓا۟ أَنَّ ٱللَّهَ يَعْلَمُ سِرَّهُمْ وَنَجْوَىٰهُمْ وَأَنَّ ٱللَّهَ عَلَّـٰمُ ٱلْغُيُوبِ ٧٨
أَلَمۡ
يَعۡلَمُوٓاْ
أَنَّ
ٱللَّهَ
يَعۡلَمُ
سِرَّهُمۡ
وَنَجۡوَىٰهُمۡ
وَأَنَّ
ٱللَّهَ
عَلَّٰمُ
ٱلۡغُيُوبِ
٧٨
Tidakkah mereka mengetahui bahwa Allah mengetahui rahasia dan bisikan mereka, dan bahwa Allah mengetahui segala yang gaib?
Tafsir
Lapisan
Pelajaran
Refleksi
Jawaban
Qiraat
Hadits
Kwani hawakujua wanafiki hawa kwamba Mwenyezi Mungu Anayajua wanayoyaficha ndani ya nafsi zao na yale wanayoyazungumza kwenye mabaraza yao ya vitimbi na njama na kwamba Mwenyezi Mungu ni Mjuzi sana wa yaliyofichika yote? Basi Atawalipa kwa matendo yao ambayo Amewahifadhia na kuwadhibitia.