sehingga dadaku terasa sempit dan lidahku tidak lancar maka utuslah Harun1 (bersamaku).
Tafsir
Lapisan
Pelajaran
Refleksi
Jawaban
Qiraat
Hadits
na moyo wangu ukaingia kero kwa kunikanusha, na ulimi wangu usiwe na ufasaha wa kulingania. Basi mtume Jibrili aende na wahyi kwa ndugu yangu Hārūn, ili anisaidie na aniamini kwa ninayoyasema, na awafafanulie kile ninachowaambia, kwani yeye ana ufasaha zaidi wa matamshi kuliko mimi.