Masuk
Masuk
Masuk
Pilih Bahasa

tafsir: Taha 20:51

20:51
قال فما بال القرون الاولى ٥١
قَالَ فَمَا بَالُ ٱلْقُرُونِ ٱلْأُولَىٰ ٥١
قَالَ
فَمَا
بَالُ
ٱلۡقُرُونِ
ٱلۡأُولَىٰ
٥١
Dia (Fir'aun) berkata, "Jadi bagaimana keadaan umat-umat yang dahulu?"
Tafsir
Lapisan
Pelajaran
Refleksi
Jawaban
Qiraat
Hadits
Fir'awn akasema kumwambia Mūsā kwa njia ya kukosoa na kuteta, «Mambo yalikuwa vipi kwa ummah waliopita? Na ni vipi habari za kame zilizopita, kwani wao wametutangulia katika ukanushaji na ukafiri?»