Tra loro c’è qualcuno che crede in esso 1mentre altri non vi credono affatto. Il tuo Signore è Colui Che meglio conosce i corruttori.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na miongoni mwa watu wako, ewe Mtume, kuna anayeiamini Qur’ani na miongoni mwao kuna asiyeiamini mpaka afe kwenye msimamo huo na afufuliwe juu yake. Na Mola wako ni Anawajua zaidi hao waharibifu ambao hawaiamini kwa njia ya udhalimu, ushindani na uharibifu, na Atawalipa juu ya uharibifu wao kwa adhabu iliyo kali zaidi.