lasciali mangiare e godere per un periodo, lusingati dalla speranza, ben presto sapranno.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Waache, ewe Mtume, hao makafiri wapate kula na wastarehe na ulimwengu wao na iwashughulishe tamaa ya huo ulimwengu wasimtii Mwenyezi Mungu, watakuja kujua mwisho wa mambo yao ambayo ni hasara ya duniani na Akhera.