Non distruggiamo alcuna città senza prima darle una Scrittura intellegibile.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na wakiomba kuteremshiwa adhabu, kwa kukukanusha, ewe Mtume, basi sisi hatuuangamizi mji, isipokuwa uwapo wakati wa kuangamizwa umeshapangwa; hatutawaangamiza mpaka waufikie mfano wa wale waliowatangulia.