Conoscono la benevolenza di Allah e poi la rinnegano. La maggior parte di loro sono miscredenti.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Washirikina hawa wazijua neema za Mwenyezi Mungu juu yao za kutumilizwa Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, kwao, kisha wanaukanusha utume wake. Na wengi wa watu wake ni wale wanaoukanusha utume wake na sio wanaoukubali.