Quando leggi il Corano, mettiamo una spessa cortina tra te e coloro che non credono nell’altra vita.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na usomapo Qur’ani wakaisikia hawa washirikina, tunaweka baina yako wewe na hawa wasioiamini Akhera pazia yenye kusitiri ili kuziziba akili zao wasiifahamu Qur’ani, ikiwa ni mateso kwao kwa ukafiri wao na kukanusha kwao.