Registrazione
Registrazione
Registrazione
Seleziona la lingua

Tafsir: Taha 20:78

20:78
فاتبعهم فرعون بجنوده فغشيهم من اليم ما غشيهم ٧٨
فَأَتْبَعَهُمْ فِرْعَوْنُ بِجُنُودِهِۦ فَغَشِيَهُم مِّنَ ٱلْيَمِّ مَا غَشِيَهُمْ ٧٨
فَأَتۡبَعَهُمۡ
فِرۡعَوۡنُ
بِجُنُودِهِۦ
فَغَشِيَهُم
مِّنَ
ٱلۡيَمِّ
مَا
غَشِيَهُمۡ
٧٨
Li inseguì Faraone con i suoi armati e furono sommersi dalle onde.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Basi Mūsā alikwenda usiku pamoja na Wana wa Isrāīl akavuka nao kwenye njia ya bahari, hapo Fir'awn pamoja na askari wake wakawafuata, maji yakawafinika, kwa namna ambayo hakuna anayoijua isipokuwa Mwenyezi Mungu, na wote walizama isipokuwa Mūsā na watu wake.