We have not granted immortality to any human before you ˹O Prophet˺: so if you die, will they live forever?
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hatukumfanya mwadamu yoyote kabla yako, ewe Mtume, asalie duniani milele. Basi ufapo wewe, kwani wao wana matumaini ya kuishi daima baada yako? Hili haliwi. Katika aya hii pana dalili kwamba Al-Khadhir, amani imshukie, ameshakufa, kwa kuwa yeye ni mwanadamu.