«Voi e quelli che adoravate all’infuori di Allah, sarete combusti- bile dell’Inferno. Non potrete evitarlo.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Kwa hakika, nyinyi, enyi makafiri, na vitu ambavyo mlikuwa mkiviabudu badala ya Mwenyezi Mungu, miongoni mwa masanamu, na wale walioridhia muwaabudu, kati ya majini na binadmu, ni viwashio vya moto wa Jahanamu na ni kuni zake, nyinyi na wao humo mtaingia.