I miscredenti non smetteranno di essere nel dubbio, finché non giunga improvvisa l’Ora o il castigo di un Giorno nefasto 1.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na hawataacha makafiri wenye kukanusha kuendelea kuwa kwenye shaka juu ya Qur’ani uliokuja nayo mpaka Kiyama kiwajie kwa ghafula na hali wao wako juu ya ukanushaji wao, au iwajie wao adhabu ya Siku isiyokuwa na wema ndani yake, nayo ni Siku ya kiyama.