Egli è Colui Che vi dà la vita e poi vi farà morire e poi vi ridarà la vita 1. Invero l’uomo è ingrato!
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na Yeye Ndiye Mwenyezi Mungu Aliyewapa uhai kwa kuwafanya mupatikane kutoka kwenye hali ya kutokuwako, kisha Atawafisha umri wenu ukomapo, kisha Atawahuisha kwa kuwafufua ili Awahesabu kwa matendo yenu. Hakika mwanadamu ni mwingi wa kukataa alama zenye kuonyesha uweza wa Mwenyezi Mungu na upweke Wake.