Ad ogni comunità abbiamo indicato un culto da osservare. E non polemizzino con te in proposito 1. Chiamali al tuo Signore, che in verità sei sulla retta via.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Kila watu miongoni mwa jinsi za watu waliopita tumewaekea sheria na ibada tuliowaamrisha wao kwazo, na wao ni wenye kuzitumia, basi wasikufanyie ushindani, ewe Mtume, hao washirikina wa Kikureshi kuhusu Sheria yako na yale Aliyokuamrisha Mwenyezi Mungu katika matendo ya Hija na aina zote za ibada. Na ulinganie kwenye kumpwekesha Mola wako na kumtakasia ibada na kufuata amri Yake. Hakika wewe uko kwenye Dini iliyolingana sawa, isiyokuwa na mapindi.