e dicono: «Signore, dacci conforto 1nelle nostre spose e nei nostri figli e fai di noi una guida per i timorati [di Allah]» 2.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na ambao wanamuomba Mwenyezi Mungu Aliyetukuka wakisema, «Mola wetu! Tutunukie miongoni mwa wake zetu na wana wetu cha kutuliza macho yetu na chenye maliwazo na furaha kwetu, na utufanye ni kiigizo chema kwa wachamungu kutuiga.»