would that enjoyment be of any benefit to them ˹at all˺?
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hakutawafaa kitu kule kustarehe kwao kwa umri mrefu na maisha mazuri wasipotubia kutokana na ushirikina wao. Basi adhabu ya Mwenyezi Mungu ni yenye kuwashukia hivi karibuni (ulimwenguni) au baadaye (huko Akhera).