Lo hanno tacciato di menzogna. Ben presto avranno notizie di ciò che scherniscono.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Kwa hakika washaikanusha Qur’ani na washaifanyia shere, basi zitawajia wao habari za jambo ambalo walikuwa wakilifanyia shere na dharau, na itawashukia wao adhabu ikiwa ni malipo ya kumuasi Mola wao.