Disse alla di lui sorella: «Seguilo» 1, e quella lo osservò di nascosto. Non avevano alcun sospetto 2.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na akasema mamake Mūsā kumwambia nduguye wa kike alipomtupa mtoni, «Fuata athari za Mūsā uone atafanywa nini? Akafuata athari zake na akamuona kwa mbali na hali watu Fir'awn hawajui kwamba yeye ni dadake na kwamba yeye afuatilia habari zake.