Rispose: «Questo [sarà] tra me e te 1. Qualunque dei due termini compirò, nessuna colpa mi sarà rinfacciata 2. Allah sia garante di quello che diciamo».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Mūsā akasema, «Hilo ulilolisema lisimame kuwa ndio ahadi baina yangu mimi na wewe, muda wowote wa vipindi viwili nitakaa kazini, nitakuwa nimekutekelezea, na sitatakiwa kuengeza juu yake, na Mwenyezi Mungu, kwa tunayoyasema, ni Mtegemewa, ni Mtunzi, Anatuona na Anakijua kile tulichofanya mapatano juu yake.»