Non sei tu che guidi coloro che ami 1: è Allah Che guida chi vuole Lui. Egli ben conosce coloro che sono ben guidati.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Wewe, ewe Mtume, humuongoi, uongofu wa kumuafikia, unayependa aongoke. Lakini hilo liko kwenye mkono wa Mwenyezi Mungu, Anamuongoa Anayemtaka kumuongoa kwenye Imani na kumuafikia aifuate. Na Yeye Ndiye Anayemjua zaidi anayefaa kuongoka, hivyo basi Anamuongoa.