Quando i Nostri angeli portarono ad Abramo la lieta novella 1, dissero: «Sì, [abbiamo l’incarico di] annientare gli abitanti di questa città, poiché in verità sono ingiusti».
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na Malaika walipomjia Ibrāhīm na habari ya furaha itokayo kwa Mwenyezi Mungu ya (kuzaliwa) Isḥāq, na nyuma ya Isḥāq ni mwanawe, Ya’qūb, walisema wale Malaika, «Sisi ni wenye kuwaangamiza watu wa kijiji cha watu wa Lūṭ, nacho ni Sadūm, kwa kuwa watu wake wamekuwa ni wenye kujidhulumu wenyewe kwa kumuasi Mwenyezi Mungu.»