Quelli saranno benedetti dal loro Signore e saranno ben guidati.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hao wenye kusubiri wana utajo mwema kutoka kwa Mola wao na rehema kubwa kutoka Kwake, Aliyetakasika na kila sifa ya upungufu, na hao ndio walioongoka njia ya uongofu.