Quando, alla vista del castigo, i seguiti sconfesseranno i loro seguaci 1 , quando ogni legame sarà spezzato,
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Watakapoiyona adhabu ya Akhera, watajitenga wale viongozi waliofuatwa kujiepusha na wale waliowafuata katika ushirikina na zitawakatikia wao aina zote za mawasiliano waliyojifungamanisha nayo duniani: ya ujamaa, ufuasi, dini na mengineyo yasiyokuwa hayo.