Le buone parole e il perdono sono migliori deirelemosina seguita da vessazioni. Allah è Colui che non ha bisogno di nulla, è indulgente.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Maneno mazuri kujibiwa muombaji na kusamehe utiriri wake katika kuomba, ni bora kuliko sadaka inayofuatiwa na kero na ubaya kutoka kwa mtoaji sadaka. Na Mwenyezi Mungu ni Mkwasi, Hana haja ya sadaka za waja, ni Mpole Hana haraka nao ya kuwatesa.