Indeed, Allah ˹alone˺ has the knowledge of the Hour. He sends down the rain,1 and knows what is in the wombs.2 No soul knows what it will earn for tomorrow, and no soul knows in what land it will die. Surely Allah is All-Knowing, All-Aware.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hakika Mwenyezi Mungu, Peke Yake, Anajuwa ni lini Kiyama kitasimama. Na Yeye Ndiye Anayeteremsha mvua kutoka mawinguni, hakuna awezae hilo yoyote isipokuwa Yeye. Na Anajua vilivyomo ndani ya vizazi vya wanawake. Na Anajua kitakachotendwa na kila mtu wakati ujao. Na hakuna nafsi inayojua itakufa wapi. Ni Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, Peke Yake Ndiye Anayehusika kwa kujua hayo yote. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mtambuzi, Ameyazunguka mambo ya nje na ya ndani, hakuna chochote katika hayo kinachofichamana Kwake.