Strappano i loro corpi dai letti 1 per invocare il loro Signore, per timore e speranza 2 , e sono generosi di quello che abbiamo loro concesso.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Mbavu za hawa wanaoziamini aya za Mwenyezi Mungu zinajiepusha na magodoro ya kulalia, wakiswali kwa Mola wao swala ya usiku, wakimuomba kwa kuogopa adhabu na kutarajia malipo mema, na katika kile tulichowaruzuku wanatumia katika kumtii Mwenyezi Mungu na katika njia Yake.