Che moriate o che siate uccisi, invero è verso Allah che sarete ricondotti.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na iwapo ajali zenu zitakoma katika haya maisha ya dunia na mkafa juu ya matandiko yenu au mkauawa katika uwanja wa mapigano, ni kwa Mwenyezi Mungu, Peke Yake, Mtakusanywa; na huko Atawalipa kwa matendo yenu mliyoyatenda.