Coloro che, pur feriti, risposero all’appello di Allah e del Messaggero 1 , quelli di loro che ben agivano e temevano Allah avranno un compenso immenso.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Wale waliouitikia mwito wa Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakatoka kuwafuata washirikina mpaka kijiji cha Ḥamrā’ al-Asad baada ya kushindwa katika vita vya Uḥud, pamoja na maumivu na majaraha waliyokuwa nayo, wakafanya upeo wa juhudi zao na wakashikamana na mwongozo wa Mtume wao, basi watenda wema hao na wacha-Mungu hao watapata thawabu kubwa.