Su tutte le vostre controversie, il giudizio [appartiene] ad Allah 1 . Questi è Allah, il mio Signore: a Lui mi affido e a Lui mi volgo pentito.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na kitu chochote kile mnachotafautiana kwacho , enyi watu, miongoni mwa mambo ya dini yenu, basi hukumu irudishwe kwa Mwenyezi Mungu katika Kitabu Chake na Sunnah ya Mtume Wake, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie. Huyo Ndiye Mwenyezi Mungu, Mola wangu na Mola wenu, Kwake Yeye nimetegemea katika mambo yangu, na Kwake Yeye ninarejea katika hali zangu zote.