coloro che rispondono al loro Signore, assolvono all’orazione, si consultano vicendevolmente su quel che li concerne 1 e sono generosi di ciò che Noi abbiamo concesso loro;
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na wale walioitika mwito wa Mola wao wa kumpwekesha Yeye na kumtii, wakasimamisha Swala za faradhi kwa namna zake katika nyakati zake, na wakitaka jambo wanashauriana juu yake , na katika mali tuliyowapa wanatoa sadaka kwenye njia ya Mwenyezi Mungu, na wanatekeleza haki wanazofaradhiwa kuwapatia wanaostahiki kama vile Zaka na matumizi na katika njia nyinginezo za matumizi.