Ne abbiamo fatto un Corano arabo 1 , affinché comprendiate!
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hakika sisi tumeiteremsha Qur’ani kwa Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, kwa lugha ya Kiarabu , huenda nyinyi mkaelewa na mkazingatia maana yake na hoja zake.