Quando mostrò loro i Nostri segni, essi li schernirono,
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na alipowajia na dalili zilizo wazi zenye kuonyesha ukweli wake katika ulinganizi wake, hapo Fir’awn na viongozi wa utawala wake wakawa wanazicheka zile hoja na mazingatio alivyokuja navyo Mūsā.