Registrazione
Registrazione
Registrazione
Seleziona la lingua

Tafsir: Az-Zukhruf 43:54

43:54
فاستخف قومه فاطاعوه انهم كانوا قوما فاسقين ٥٤
فَٱسْتَخَفَّ قَوْمَهُۥ فَأَطَاعُوهُ ۚ إِنَّهُمْ كَانُوا۟ قَوْمًۭا فَـٰسِقِينَ ٥٤
فَٱسۡتَخَفَّ
قَوۡمَهُۥ
فَأَطَاعُوهُۚ
إِنَّهُمۡ
كَانُواْ
قَوۡمٗا
فَٰسِقِينَ
٥٤
Cercò così di confondere il suo popolo ed essi gli obbedirono: era gente malvagia.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Fir’awn akazichezea akili za watu wake, akawaita kwenye upotevu na wao wakamtii na wakamkanusha Mūsā. Kwa hakika, wao walikuwa ni watu waliotoka kwenye utiifu wa Mwenyezi Mugu na njia yake ya sawa.