E nessun profeta venne loro senza che lo schernissero.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hawajiwi na Nabii yoyote isipokuwa huwa wakimcheza shere kama vile watu wako walivyokucheza shere, basi tukawaangamiza wale waliowakanusha Mitume wetu, nao walikuwa ni wenye nguvu kali na ushujaa wa kivita kuliko watu wako, ewe Mtume.