Prima di loro mettemmo alla prova il popolo di Faraone, quando giunse loro un nobilissimo messaggero 1
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Hakika sisi tushawafanyia mtihani na kuwajaribu watu wa Fir’awn kabla ya hawa washirikina, na aliwajia wao Mtume mtukufu, naye ni Mūsā, amani imshukie, wakamkanusha na wakaangamia. Basi hivi ndivyo tutakavyowafanya maadui zako, ewe Mtume, wasipoamini.