Registrazione
Registrazione
Registrazione
Seleziona la lingua

Tafsir: Ad-Dukhan 44:37

44:37
اهم خير ام قوم تبع والذين من قبلهم اهلكناهم انهم كانوا مجرمين ٣٧
أَهُمْ خَيْرٌ أَمْ قَوْمُ تُبَّعٍۢ وَٱلَّذِينَ مِن قَبْلِهِمْ ۚ أَهْلَكْنَـٰهُمْ ۖ إِنَّهُمْ كَانُوا۟ مُجْرِمِينَ ٣٧
أَهُمۡ
خَيۡرٌ
أَمۡ
قَوۡمُ
تُبَّعٖ
وَٱلَّذِينَ
مِن
قَبۡلِهِمۡ
أَهۡلَكۡنَٰهُمۡۚ
إِنَّهُمۡ
كَانُواْ
مُجۡرِمِينَ
٣٧
Son essi migliori, o il popolo di Tubba‘ 1 o coloro che li precedettero? Li annientammo perché in verità erano malvagi.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Je, hawa washirikina ni bora au watu wa Tubba’ wa Himyar na wale waliokuwa kabla yao miongoni mwa ummah waliomkanusha Mola wao? Tuliwaangamiza kwa uhalifu wao na kukanusha kwao. Hawa washirikina si bora kuliko hao ili tuwasamehe na tusiwaangamize, na hali wao wanamkanusha Mwenyezi Mungu.