Se impara qualcuno dei Nostri versetti, li volge in scherno. Ecco coloro che avranno l’umiliante tormento:
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na huyu mrongo sana mwingi wa dhambi anapojua kitu katika aya zetu anazifanyia shere na mzaha. Hao watakuwa na adhabu itakayowadhakikisha na kuwatia kwenye hizaya Siku ya Kiyama, ikiwa ni malipo ya kuicheza shere kwao Qur’ani.