And indeed, by the early morning they were overwhelmed by an unrelenting torment.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na iliwajia kipindi cha asubuhi adhabu ya kuendelea, imejikita kwao mpaka iwafikishe kwenye adhabu ya Akhera. Adhabu yenyewe ni kuvurumizwa mawe na kuipindua miji yao kwa namna ambayo kulikokuwa juu kukawa chini,