e ad altri che ancora non li hanno raggiunti [nella fede]. Egli è l’Eccelso, il Saggio.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Amemtuma yeye kwa watu wengine watakaokuja ambao bado hawajakuja miongoni mwa Waarabu na wengineo. Na Mwenyezi Mungu Aliyetukuka, Peke Yake, Ndiye Mshindi mwenye kushinda juu ya kila kitu, Mwingi wa hekima katika maneno Yake na matendo Yake.