[loro] che, nonostante il loro bisogno 1 , nutrono il povero, l’orfano e il prigioniero;
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na wanalisha chakula, pamoja na kuwa wanakipenda na kukihitajia, kumpa fukara asiyeweza kuchuma, asiyemiliki chochote katika vitu vya kilimwengu, na kumpa mtoto aliyefiliwa na babake kabla ya kubaleghe na asiye na mali, na kumpa mtu aliyetekwa vitani miongoni mwa washirikina na wengineo,