Temete la fitna 1 , essa non insidierà solo coloro che sono stati ingiusti; sappiate che Allah è severo nel castigo.
Tafsir
Strati
Lezioni
Riflessi
Risposte
Qiraat
Hadith
Na jihadharini, enyi Waumini, na mtihani na mkasa yenye kuwaenea waliofanya makosa na wasiofanya, hawahusishwi nayo wenye maasia wala aliyefanya dhambi; bali yanawapata watu wema pamoja nao iwapo wanaweza kukataza udhalimu wasiukataze. Na jueni kwamba Mwenyezi Mungu ni Mkali wa mateso kwa mwenye kwenda kinyume na maamrisho Yake na makatazo Yake.